Lynn Kufanya Kolabo na Mobetto Mwenyewe Afunguka A-Z

Lynn Kufanya Kolabo na Mobetto Mwenyewe Afunguka A-Z
Mrembo anayetamba mtandaoni baada ya kuingia kwenye muziki wa Bongofleva na kuachia wimbo wake mpya Official Lyyn amesema kuwa anashukuru kuona mashabiki wamempokea vizuri na wimbo wake mpya unaoitwa ‘Chafu’ akiwa kama ndiye msanii mchanga anayeanza game.

Official lyyn ameongezea kwa kusema alijipanga vizuri na maneno ya watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kuingia kwenye muziki na kuhusu Hamisa Mobetto kasema tutegemee atafanya naye kolabo.

from Tujifunze Mapenzi https://ift.tt/2zMJ60u
via

No comments:

Powered by Blogger.