SENTENSI 14 ZA UWONGO WA WANAWAKE

Related image
1. I love u baby 
2. nipo singo 
3. nipo serious kuhusu 
wewe 
4. sikuwa na credit 
5. nitafanya chochote kwa ajili yako 
6. nataka unioe, 
7. NIAMINI... 
8. sinto achana na ww 
9. naomba usinache 
10. Usipge, Ntakupigia baada ya mda kidooogo, 
11. subir npo na baba 
12. nyumbani kulikuwa na wageni nkashindwa kutoka 
13. NAAPA..! we ndo pekee ... 
14. nipo period bby nitakuambia nikimaliza. 
wizi mtupu 
>>>>nimezikuta mahali nikaona niwashirikishe<<<<


from Tujifunze Mapenzi https://ift.tt/2G7eYCF
via

No comments:

Powered by Blogger.