Uhondo wa pipi kifua kunako 6x6

 





Ukiwa mwenye hamu kwamba unataka siku hiyo ukutane na mwenzio shoga nenda kaoge, jitawaze vizuri maana siunaelewa mwanamke unaringa nje ukifunuliwa chini unanuka shombo kaa samaki...hehe heiya ndio siye babu tulivyooumbwa na kujisafisha tunaweza..chezea siye


Wakati unajiandaa, utaoga ujitawaze vizuri sana huko kwa bibi halafu ukishakuwa umejifuta unajiandaa sasa kwenda kitandani ili ukachume tunda chutama vizuri miguu ikiwa umeitanua tia ile pipi yako ya kifua ukeni , kaa muda kidogo muite mzee akupe maraha tena ukimsihi kwa mahaba mpenzi leo huku bwana..basi kijana wa watu huku anakupa maraha huku anapata raha yake ya mdomo kwa ule utamu wa pipi walahi atanyonya mpaka iishe basi wee mpaka amelize utamu wa pipi ushafika kileleni mara ngapi sijui..hehe heiya


Eeenhee aka mwenzangu mapenzi kila mtu aone utamu sio yeye anyonye tu huko, apige chafya ukimletea pumu mtoto wa watu inahusu, raha anyonye kusafi, kunanukia na kutamu


No comments:

Powered by Blogger.