KAMA ULIKUWA HUJUI HIZI NDIZO MBINU ZA KUMFANYA MWANAMKE APATE AU ASHIKE UJAUZITO HARAKA

1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa

mara, angalau siku tatu kwa wiki,

ikiwezekana on alternate days.

2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni

kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati

hasa mwanamke ameengua yai na ndio

kipindi ambacho mwanamke ana uwezo

wa kushika mimba akikutana na

mumewe. Ni rahisi kutumia.

3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua

yai (kabla ya ovulation), huongeza

uwezekano wa kushika mimba kuliko

kusubiria ovulation au kufanya baada ya

ovulation.

Kutaneni siku mbili au tatu kabla ya

ovulation. Ukitumia ovulation test kit,

mkutane kuanzia siku itakapokuwa

positive kwani huwa inapredict

ovulation kutokea 48 hrs after it tests

positive.

4. Usitegemee njia ya kalenda kutabiri

uenguaji yai, njia hii kwa kiasi fulani

huweza kuwasaidia wale wenye

mzunguko wa siku 28, lakini pia haina

uhakika wa 100%, wengi wa wanawake

hawaengui yai siku ya 14 ya mzunguko

wa hedhi, kwa hiyo kutegemea kalenda

kutakuchelewesha kupata ujauzito.

5. unapotaka kushika mimba, acha au

punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya

pombe, sigara au dawa za kulevya.

6. unapotaka kupata mimba, tendo la

ndoa liwe kitu 'enjoyable' na sio tendo

'mechanical' kwa ajili ya kutafuta mtoto.

7.Kufanya mapenzi katika mtindo (style)

ambayo itafanya mbegu za kiume zikae

kwa muda mrefu ukeni na hivyo nyingi

kupanda kuingia kwenye kizazi na

kwenda kurutubisha yai.

'missionary position' ni nzuri zaidi,

ambapo mwanaume anakuwa juu,

epuka positions za mwanamke kuwa

juu kwani hufanya mbegu zimwagike

kwa gravity. Jaribu pia kuweka mto chini

ya kiuno ili kukiinua na kufanya mbegu

ziingie ndani kwa urahisi zaidi.

Kumbuka kuna asilimia 10 – 25 ya

couples ambazo zina matatizo ya

infertility lakini vipimo havionyeshi

tatizo, inaweza kuwa namna ya kufanya

mapenzi ndio ikawa shida, jaribu njia

hizo 7 juu.

Kama hizi njia hazijakusaidia basi

utakuwa na matatizo na unaweza

kumuona daktari kwa msaada wa

vipimo na matibabu. Natumaini uzi huu

unaweza kuwa msaada kwa watafutao

watoto



No comments:

Powered by Blogger.