NAOMBENI USHAURI: MJOMBA WANGU KAINGIA CHUMBANI NA KUNIKUTA NAVAA NGUO SASA ANANITAKA,NIFANYAJE?

Baba mdogo wangu ananitaka kimapenzi,

alikuja gafla chumbani kwangu na kuingia

bila kupiga hodi kuniambia kwamba mama

amezimia gafla kutokana na ugonja wa

kifafa unaomsumbua.

Bahati mbaya wakati anaingia chumbani

kwangu gafla alinikuta nikiwa uchu nikiwa

nimevaa chupi tu, sasa toka wakati huo

amakua akiniangalia kwa macho ya

kimapenzi na anataka kutoka na mimi out

anasema kuna jambo anataka kuongea na

mimi.

Nimefikiria kumwambia kaka yake , lakini

nahisi nikimwambia baba naweza kufanya

tatizo kuwa kubwa zaidi, naombeni

ushauri wanajamii forums, sababu sasa

ameanza kunitumia message za mapenzi

usiku, na huyu ni baba yangu mdogo na

amenipita miaka mingi kwa kweli,

namheshimu na naogopa kumjibu vibaya.



No comments:

Powered by Blogger.