Je Kuna Ugonjwa wa Hamu ya Kufanya Mapenzi Au ni Kujiendekeza..Hawezi lala Bila ya Kupata Dozi



Wakati nasoma sekondari kuna dada alikua hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu.

AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikua tunamsindikiza) japo tulikua bodin

kwa uoga tulisema HANA lakini alikua nao na akigombana na one of them ndo anaumwa

na kujaamiiina ilikua kawaida sana kwake

Sasa basi juzi nikaambiwa mtu flani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina

SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?


Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome

 

  Install Application ya Raha Ya Mapenzi Uweze Pata Habari Kama Hizi Kirahisi Zaidi



No comments:

Powered by Blogger.