Dalili za mwanaume asiyekuwa na mapenzi ya kweli

1. Anaahadi nyingi hazitekelezeki muongo.

2. Msiri hapendi kuweka mambo yake wazi.

3. Anakutafuta akiwa na pesa kwaajili ya starehe, akiwa hana hakutafuti kabisa.

4. Hajali matatizo yako.

5. Mawasiliano sio mazuri, hana tabia yakukujulia hali mara kwa mara.

6. Hutishia kuachana mara kwa mara.

7. Hana mipango wala malengo yeyote kuhusu maisha yenu ya badaye.

8. Anapenda starehe na kujirusha na wewe akiwa na mashiko.

9. Hakutambulishi kwa ndugu zake wa karibu, na anaweza asikupeleke hata anapoishi.

10.Haonyeshi hisia zake kwako mbele za watu.

11.Anakutafuta akiwa na shida zake akimaliza wasalimie kigoma.

12.Mbinafsi anajifikiria yeye tu.


Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome

 

  🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI



No comments:

Powered by Blogger.