MAJARIBU ya Wanawake Kwa Wanaume Kama Wanafaa Kuwa Nao Kimapenzi Mengi Hutoa Majibu Yasiyo Sahih
Pili huaga wanawapoteza watu muhimu, kwasababu huaga wanawafanyia majaribu wanaume bila kujua kama majaribu hayo yapo ndani ya uwezo wao, wanaume huonekana kama wameshindwa kumbe huaga hawajashindwa kiuhalisia, yaani huaga wanashindwa kwasababu majaribu huaga makubwa kwao kuliko uwezo wao kwa wakati huo...
Unakuta mwanamke anamjaribu mchumba wake labda amnunulie kitu fulani cha gharama lakini mwanaume kwa wakati huo anakuta anamajukumu mengine kama kujenga ama mengine basi mvulana akishindwa kutimiza anaonekana hafai na kukimbilia kwa mwingine ambae anaweza kumpa hivyo vitu vya starehe ya muda na kumuacha mwanaume potential ambae labda angevumilia wangefanya maisha pamoja....
Mwanaume Hajaribiwa Bwana....
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI
No comments: