Dada Tulia uolewe sasa miaka hairud nyuma. Wachawi wako ni hawa ndugu zako
Shida kubwa sasa amekuwa na hamu ya Kuolewa mpaka anaharibu sababu ya Kujirahisi yaani ukimzoea kidogo tu ukawa naye siku mbili tatu ukaomba issue anakupa. Ye anaamini akikupa na kukuonesha maujuzi haraka utatangaza ndoa. Ufundi wanasema anao si haba. Lakini wanaume wengi nadhan hawamwoni kama mke. Wanamwona zaidi kama ni mwanamke wa dharura.
Akija kazin Jumatatu amechoka kila sehem ya mwili. Na bado analalamika kuwa hapati mume. Najiuliza atapaje Mume kwa style hiyo?
Na umri nao unaenda anaelekea Usiku. Sasa anazunguka kwa waganga anadai amerogwa asiolewe. Lakini ukiangalia mfumo anaotumia kucheza katika maisha ni mfumo ambayo unakaribisha Mashambulizi kwake.
Huyu dada amejiroga mwenyewe. Mtu gani pombe yeye, kuachia kupigwa mabao yeye, Umjini mjini mwingi na maneno ya shombo.bado analalamika kuwa amerogwa.
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI

No comments: