Figisu za mwanamke kufika kilele
unauwezo wa kumfanya afike kileleni mapema kwa kuzingatia maandalizi ya awali kabla ya tendo inabidi utumie muda mwingi katika kumuandaa mpenzi wako kwa kumtomasa sehemu husika ili iwe njia rahisi ya wewe kumridhisha na kumfanya afike katika kilele cha raha.
Wanawake wametofautiana katika namna ambayo kufikia mshindo/kilele cah mlima kilimanjaro.
ZIFUATAZO NI DALILI KUU ZA MWANAMKE ANAPOKARIBIA KUFIKA KILELENI:
1. Dalili ya kwanza inayomuashiria mwanamke anapotaka kufika kileleni ni ya kupiga mayowe/kelele, hii ni dalili kubwa kwa wanawake wengi napozungumzia dalili hii sina maana kwamba ya kupiga kelele za fujo ila kelele zinazopigwa ni zile za raha zilizoambatana na Miguno ya kimahaba kama alikuwa anatoa sauti ya chini ghafla utaanza kuona anapandisha na kuikuza sauti wala kujali kuwa kuna watoto au majirani wanaweza kusikia hizo kakara.
2. Pia kuna wanawake wengine hujikuta wakiropokwa maneno pindi raha zinapozidi, utakuta atakuita jina lako na kukusifia. Lakini hapa kuna mtihani pia...... kama mke wako anatabia ya kutoka nje ya ndoa na ikatokea jamaa akatoa dozi ya kutosha zaidi yako, basi atataja jina la huyo jamaaa.....hi kwa kwasababu raha ya penzi ikizidi mwanamke anakuwa OUT of control, atasema kile kinachokuja kichwani pake hasa pale uatamu wa G-SPOT unapofikiwa. So must be careful kumkamata mwizi wako if any
3. Dalili nyingine ya pili inayoweza kukusaidia kumtambua mwanamke anapotaka kufika kileleni ni hii wanawake wengi hubainika kufika kileleni pindi raha zinapo wazidia na wanapo kojoa (Bao) huwakumbatia wapenzi wao kwanguvu na kuwavuta hutumia nguvu nyingi kuwakumbatia wapenzi wao mpaka wanapomaliza kukidhi haja yao. Tukumbuke pia wanawake wametofautiana katika style za kufikia mshindo...sooo sio kila mwanamke anaweza kuonyesha dalili hizi
4. Kuna wanawake wengine hufikia hatua ya kukung'ata meno ila fahamu zote zinakuwa ni raha anajikuta anafanya vitu bila kutarajia. Unaweza kuata wengine wanakufinya sehemu ambayo mkono wake upo na kadhalika.....hali mradi tu yale maji yatoke
5. Kuna wanawake ambao hawaruhusu kuguswa baadhi ya sehemu za mwili kwa mfano chuchu/matiti, makalio, mapaja, kunyonya mate n.k Sasa baadi ya hawa inapofikia mshindo unashuka utamwona mwenyewe anachukua mkono wako(mwanaume) na kupeleka sehemu husika kubinya binya, kupapasa, na kuongeza hisia fulani mwilini mwake. Hii ni dalili mojawapo ya mshindo kwa wapendwa wetu
6. Kuna wanawake wengine tunawaita "silent killer", hawa mshindo wanfikia kimya kimya pasipokuona dalili yeyote. Mara nyingi kundi hili huonyesha dalili moja tu ambayo baada ya kufikia mshindo huvupa pumzi na nyingi na kuashia, ukiona hivyo ujue ngari imeshaafika stend
7. Kuongeza kasi, hawa tunawaweka kwenye kundi la mwendo kasi. Yaani treni inapokaribia mwisho wa reli kule Kigoma, huongeza kasi kwa kile alichokuwa anakifanya. Kama alikuwa anakata mauno utafikiri hakuna mfupa, kama alikuwa juu ataongeza mapigo ya kasi mpaka useme atanijunja sasa.
Nilishawahi kusikia kuwa kuna wengine wanafikia kwa kujamba, kulia, kuimba nk. of which sina uhakika wala sijawahi ku-experience. So hiii ni guidance which may differ from one woman to another
NB: Kama utakwenda kuopoa mtaani(dada poa) kaaa mkao wa kupata fake orgasm za kukudanganya mwanaume ukojoe mapema utoe chapaa na kusepa zako. Ni kweli kuwa baadhi ya hizi bwashasha za kufikia kilele huwa-confuse wanaume na kupelekea na wao kumaliza soon
Ni vizuri kufanya maandalizi ya kutosha kwa partner wako ka kupata mafanikio mazuri kitandani
bassa 0765203999
No comments: