MADHARA ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

- Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
- kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
- Kusahausahau,
- Kupendelea story za mapenzi,
- Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
- Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
- Kuumwa na kichwa,
- Kukakamaa mgongo (wanaume),
- Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
- Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
Install Application ya Raha Ya Mapenzi Uweze Pata Habari Kama Hizi Kirahisi Zaidi
No comments: