Dada yangu anataka nimpe mambo..

Image result for NANI LEO NIMPE TAMU YANGU

Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?

No comments:

Powered by Blogger.