JE,WAZIJUA SIRI KUMI ZA NDOA

Image result for ndoa

1. *KILA UNAEMUOA AU  NAE ANA UDHAIFU WAKE*

2. *KILA UNAEMUOA AU KUOLEWA NAE ANA HISTORIA YAKE MBAYA*

Hakuna mtu ambae ni malaika,epuka kuchunguza mambo ya mtu ya nyuma samehe na usahau.
3. *KILA NDOA INA CHANGAMOTO ZAKE*
Ndoa sio kitanda cha maua waridi yanayomeremeta kila muda,kila ndoa yenye mafanikio imepitia misukosuko mingi.
4. *KILA NDOA INA HATUA ZAKE KATIKA MAFANIKIO*
Hatuwezi kuwa sawa, kuna watakaokuwa mbele kidogo na watakaokuwa nyuma kidogo. Kupunguza stress, kuwa mtulivu, fanya kazi kwa bidii na kwa muda muafaka ndoto za ndoa yako zitatimia.
5. *KUOA AU KUOLEWA NI KUTANGAZA VITA*
Ukishaoa au kuolewa ni kuingia katika uwanja wa mapambano,Kuwa tayari kupambana kuulinda ukanda wa ndoa yako.
6. *HAKUNA NDOA ILIYOKAMILIKA*
Hakuna ndoa ambayo imetimilika,Ndoa ni kazi ngumu,jitolee mwenyewe na ufanye kazi ya kuijenga ndoa yako iwe kamilifu.
7. *MUNGU HAWEZI KUKUPA MTU KAMILI UNAYEMTAKA*
Mungu atakupa mtu ili wewe umtengeneze jinsi wewe unavyohitaji yeye awe.
8. *KUOA NI KUJIINGIZA KATIKA HATARI*
Huwezi jua nini kitatokea baada ya ndoa, hali inaweza badilika,hivyo achia nafasi ya marekebisho.
9. *NDOA SIO MKATABA WA MUDA BALI NI MKATABA WA KUDUMU*
Ndoa inahitaji ahadi ya kudumu,mapenzi ni gundi ambayo huwafanya wanandoa kuwa pamoja daima..Talaka huanza katika mawazo.
10. *KILA NDOA HUHITAJI KUJITOA*
Hakuna mapenzi rahisi katika ndoa,huwezi kupenda au kupendwa bila kujitoa nafsi yako kwa dhati.
*Vijana karibuni sana katika familia za wanandoa ila unatakiwa utoe uo

No comments:

Powered by Blogger.