Je, sheria inasemaje juu ya mwanaume anayekwepa jukumu lake la kulea mimba, lakini hapo hapo anadai kuwa mtoto akizaliwa ni mali yake na atamchukua?Naombeni msaada kwa hili.
Mwanaume kutotoa huduma yeyote katika kipindi cha ujauzito.
Reviewed by
Bassa
on
8:13 AM
Rating:
5
No comments: