Tuondoe ubishi juu ya wanawake wenye uke mrefu na mfupi
Lakini pia inasemekana wanawake wanene wamenyimwa zawadi ya kina kirefu. Pia wengine wanadai kuwa ukiangalia mwanya uliopo kati ya dole gumba la mguuni na kidole kinachofuatia, utagundua kitu.
Mwanamke mwenye mwanya mkubwa ana uke mpana na mwenye kina sana na mwenye mdogo ana uke mdogo.
Mwisho ni urefu wa kiganja pamoja vidole vya mwanamke akivinyoosha, kama virefu sana jua basi na kina cha uke wake ni kirefu sana. Lakini kama kiganja na vidole vya mikononi ni vifupi, ujue kina kifupi pia.
No comments: