Msaada mbinu kabambe za kuteka hisia za bint,mwanamke umbebe mzima mzima bila kujali umri
Mbinu niliyokua natumia mimi
nikiwa kwenye group huwa najiweka kuwa tofauti na wenzangu kama ni waongeaji au waropokaji huku bint wanaemshobokea mm nampuuza hatimae hujilengesha mwenyewe napiga mechi ya mbali natulia kimya najifuta mdomo nisijulikane nimekula naombeni mbinu nyingine nimegundua hii ni ya kishamba
msaada wa 1 ni kuwateka mabinti wanaochipukia katika mapenzi
msaada wa 2 masistaduu
msaada wa 3 wamama watu wazima wenye pesa
msaada wa 4 wadada wa makamo
msaada wa 5 wadada wenye elimu ya juu na kazi nzuri
0765203999 bassa mussa
No comments: